AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanaheri Afunguka : Nina Makalio Orijino, Sijafanya Sajari
Muigizaji wa Bongo Movies, Mwanaheri amesema kuwa hajafanya sajari kupendeza umbo lake bali ameumbwa hivyo na Mwenyezi Mungu.
"Hakuna mwanaume anayeweza kuniona halafu asivutiwe na mimi kwasababu mimi mwenyewe Mashaallah na nimejaaliwa vyombo Mashaallah. Nina vitu orijino sijasafiri kwenda Uturuki wala wapi ni Mungu kanijaalia vitu.
"Sisi kwetu wote tuko hivyo, wote ni vyombo si watoto, wasichana wala wazee, wote ukituona tuna vitu Mashaallah.
"Wanaosema nimeenda Uturuki hawanijui vizuri wamenifahamu ukubwani baada ya kuanza kuniona Instagram, lakini mimi tangu utotoni nilikuwa na vitu Mashaallah," amesema Mwanaheri.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK