Kocha Mbrazili Awajambisha Yanga Kuelekea Mechi ya CAF Kesho Kutwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Kocha Mbrazili Awajambisha Yanga Kuelekea Mechi ya CAF Kesho Kutwa

Kocha Mkuu wa CR Belouizdad ya nchini Algeria, Marcos Paqueta amesema kuwa anatarajia kukutana na upinzani mkali kutoka kwa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans katika mchezo wa Mzunguuko wa Kwanza wa Kundi D, Ligi ya Mabingwa Afrika kutokana ubora wa wachezaji wao.

Kauli hiyo ya Kocha huyo kutioka nchini Brazil imekuja kufuatia ubora wa baadhi ya wachezaji wa Young Africans ambao wamekuwa wakionyesha kiwango cha hali ya juu kwa sasa ambao ni Maxi Mpia Nzengeli, Pacome Zouzoua, Aziz Ki ambao kwa pamoja wanaunda utatu wa MAP sambamba na nyota wengine.

CR Belouizdad wanatarajiwa kukutana na Young Africans katika mchezo huo wa Mzunguuko wa Kwanza Ijumaa (Novemba 24) huko nchini Algeria.

Kocha Marcos Paqueta amesema: Natarajia kukutana na upinzani mkali kutoka kwa Young Africans ambayo imekuwa na kikosi kizuri kwa misimu ya hivi karibuni, hivyo lazima tujiandae licha ya kuwa tutakuwa tunacheza mchezo wa nyumbani.

“Young Africans ni timu ambayo imeonekana kufanya vyema hata ugenini kulingana na ya sasa hivyo tunajiandaa kuangaliani namna ganı tutakuwa na wakati bora ili kuweza kupata kilichobora zaidi,” amesema kocha huyo.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad