UnaambiwaCristiano Ronaldo Ana Njaa Kama Kijana wa Miaka 18, Kocha Asalimu Amri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

UnaambiwaCristiano Ronaldo Ana Njaa Kama Kijana wa Miaka 18, Kocha Asalimu Amri


Unaambiwa kocha wa timu ya taifa ya Ureno Roberto Martínez anadai kuwa hakuna mtu mwenye njaa kali ya kufunga mabao kama Cristiano Ronaldo.


"Cristiano Ronaldo ana njaa kama vile mchezaji wa miaka 18. Yeye ni mfano wa kuigwa. Kila mara anajaribu kuwa katika nafasi sahihi na anatafuta nafasi za kufunga magoli," amesema Roberto Martínez.


Timu ya taifa ya Ureno mpaka hivi sasa katika michezo 10 waliyocheza ya kuwania kufuzu michuano ya EURO 2024 wamefanikiwa kushinda yote huku Cristiano akiongoza kwa wafungaji akiwa na jumla ya mabao (10).


Je, ni nyota gani mwingine unadhani ana njaa ya kufunga kama Ronaldo?

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad