AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Unaambiwa kocha wa timu ya taifa ya Ureno Roberto MartÃnez anadai kuwa hakuna mtu mwenye njaa kali ya kufunga mabao kama Cristiano Ronaldo.
"Cristiano Ronaldo ana njaa kama vile mchezaji wa miaka 18. Yeye ni mfano wa kuigwa. Kila mara anajaribu kuwa katika nafasi sahihi na anatafuta nafasi za kufunga magoli," amesema Roberto MartÃnez.
Timu ya taifa ya Ureno mpaka hivi sasa katika michezo 10 waliyocheza ya kuwania kufuzu michuano ya EURO 2024 wamefanikiwa kushinda yote huku Cristiano akiongoza kwa wafungaji akiwa na jumla ya mabao (10).
Je, ni nyota gani mwingine unadhani ana njaa ya kufunga kama Ronaldo?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK