AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwili wa Mtanzania aliyeuawa nchini Israel, Marehemu Clemence Mtenga umeagwa usiku huu huko Tel Aviv nchini Israel na ibada yake kuhudhuriwa na watanzania kadhaa na wenyeji wao.
Kwa mujibu wa taarifa za awali za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki mwili huo unatarajiwa kufika nchini Jumamosi hii kwaajili ya mazishi baada ya Watanzania waliopo Israeli kuuaga mwili huo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK