AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Moja kati ya Trending Fashion za wasanii kwa sasa ni kuvaa mabwanga 'Oversize' flani hivi kwenye mitupio yao, mitoko, wakiwa kwenye shows, Special Appearance, Location wana-shoot na matukio mengine ya burudani.
Kwa mfano Bwanga hilo alilovaa African Boy Juma Jux ambalo anasema analigawa kwa sababu anayo mawili.
"Ndugu zangu nani anataka hii jeans ninazo mbili?" - Juma Jux
Unaweza kuvaa bwanga hilo la Jeans kwenye mitoko yako?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK