AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
CR7 amewafunika Haaland, Mbappe na Kane kwa upachikaji magoli kwenye michuano ya kufuzu #EURO2024 ambapo amehusika katika magoli 11 katika mechi 8 huku kwenye ligi mbele ya Benzema, Neymar, Firmino, Mahrez, Mitrovic na wengine @cristiano amehusika kwenye magoli 20, mechi 12.
Kwa mwaka 2023 Ronaldo amechangia jumla ya mabao 58 katika michezo 50 kwa ngazi ya klabu na timu ya taifa, Ureno 🤯🐐
Ronaldo katika kufuzu Euro:
🏟️ Matches: 8
🚀 Goals: 10
🎯 Assists: 1
Ronaldo katika Saudi Pro League:
🏟️ Matches: 12
🚀 Goals: 13
🎯 Assists: 7
Ronaldo amefunga pia kwenye AFC Champions League, Arab Club Champions Cup.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK