Unaambiwa Cristiano Ronaldo Amefunga Magoli Mengi zaidi Mwaka 2023

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mchezaji Cristiano Ronaldo mwenye umri wa miaka 38 amefunga jumla ya mabao 46 mwaka 2023. Ikiwa ni kwenye ligi [Saudi Pro League] na timu ya taifa ya Ureno kwenye michuano ya kufuzu Euro 2024.

CR7 amewafunika Haaland, Mbappe na Kane kwa upachikaji magoli kwenye michuano ya kufuzu #EURO2024 ambapo amehusika katika magoli 11 katika mechi 8 huku kwenye ligi mbele ya Benzema, Neymar, Firmino, Mahrez, Mitrovic na wengine @cristiano amehusika kwenye magoli 20, mechi 12.

Kwa mwaka 2023 Ronaldo amechangia jumla ya mabao 58 katika michezo 50 kwa ngazi ya klabu na timu ya taifa, Ureno 🤯🐐

Ronaldo katika kufuzu Euro:

🏟️ Matches: 8
🚀 Goals: 10
🎯 Assists: 1

Ronaldo katika Saudi Pro League:

🏟️ Matches: 12
🚀 Goals: 13
🎯 Assists: 7

Ronaldo amefunga pia kwenye AFC Champions League, Arab Club Champions Cup.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad