Unaambiwa Diamond Platnumz Ndio Msanii Mwenye Mafanikio Kuliko Wote Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Unaambiwa Diamond Platnumz Ndio Msanii Mwenye Mafanikio Kuliko Wote Tanzania


Mpaka sasa @diamondplatnumz ndiye msanii mwenye streams nyingi zaidi nchini Tanzania kwa mwaka 2023 kwenye digital platforms zote(overall) huku akiongoza Boomplay,spotify,Youtube na mitandao mingine,ikumbukwe aliongoza pia kwa mwaka 2022.

@diamondplatnumz anawaongoza wasanii wengine nchini Tanzania kwenye upande wa sales(mauzo kwenye digital platforms),pamoja na accolades(awards) kwa mwaka huu 2023 baada ya kuongoza kuchukua tuzo mbalimbali za kimataifa.

Hiyo inamfanya @diamondplatnumz kuwa msanii mwenye mafanikio zaidi nchini Tanzania kwa mwaka huu 2023 mpaka leo November 9.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad