AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mpaka sasa @diamondplatnumz ndiye msanii mwenye streams nyingi zaidi nchini Tanzania kwa mwaka 2023 kwenye digital platforms zote(overall) huku akiongoza Boomplay,spotify,Youtube na mitandao mingine,ikumbukwe aliongoza pia kwa mwaka 2022.
@diamondplatnumz anawaongoza wasanii wengine nchini Tanzania kwenye upande wa sales(mauzo kwenye digital platforms),pamoja na accolades(awards) kwa mwaka huu 2023 baada ya kuongoza kuchukua tuzo mbalimbali za kimataifa.
Hiyo inamfanya @diamondplatnumz kuwa msanii mwenye mafanikio zaidi nchini Tanzania kwa mwaka huu 2023 mpaka leo November 9.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK