AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Harmonize Atangaza Kushika Namba Moja Trending Youtube Hadi 2024
Msanii wa muziki wa bongofleva @harmonize_tz amedai kuwa atakaa namba moja kwenye digital platforms zote kuanzia sasa hadi January 2024 ikitokea ametoka basi atakua amemuachia msanii mwenzake wa label yake @ibraah_tz.
Mbali na kusema hayo Harmonize amewashukuru mashabiki zake(Kondegang FC) kwa upendo na sapoti yao kwenye muziki wake kitendo kilichopelekea wimbo wake wa #Sijalewa kushika namba moja kwenye mtandao wa YouTube.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK