Harmonize Atangaza Kushika Namba Moja Trending Youtube Hadi 2024

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Harmonize Atangaza Kushika Namba Moja Trending Youtube Hadi 2024

Harmonize Atangaza Kushika Namba Moja Trending Youtube Hadi 2024

Msanii wa muziki wa bongofleva @harmonize_tz amedai kuwa atakaa namba moja kwenye digital platforms zote kuanzia sasa hadi January 2024 ikitokea ametoka basi atakua amemuachia msanii mwenzake wa label yake @ibraah_tz.

Mbali na kusema hayo Harmonize amewashukuru mashabiki zake(Kondegang FC) kwa upendo na sapoti yao kwenye muziki wake kitendo kilichopelekea wimbo wake wa #Sijalewa kushika namba moja kwenye mtandao wa YouTube.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad