AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa Bongo Fleva, Zuchu amesema kuwa, mpenzi wake ambaye pia ni bosi wake, Diamond Platnumz ndiye mwanaume wa kwanza kumtoa usichana wake.
Akihojiwa na Wasafi TV siku chache zilizopita, Zuchu amesema kuwa Diamond Platnumz ndio mpenzi wake wa kwanza kwenye maisha yake ya mahusiano, na kudai kwamba jamaa huyo mwenye watoto wanne ndiye alimtoa bikra yake hivyo anafurahia mapenzi yao.
Zuchu na Diamond walikuwa wakificha mahusiano yao kipindi cha nyuma lakini wameamua kuyaanika hadharani kwa sasa ambapo wamekuwa wakijiachia mbele za watu na hata mbele za kamera bila kificho tena.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK