BREAKING : Vifo Vyafika 47 Mafuriko Hanang Katesh

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mafuriko Hanang Katesh
Mafuriko Hanang Katesh

BREAKING: Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga amesema hadi kufikia leo saa kumi jioni idadi ya vifo kutokana na mafuriko Wilayani Hanang imeongezeka na kufikia Watu 47 huku waliojeruhiwa wakifikia 85 na wengine wakihofiwa kufukiwa na tope baada ya nyumba zao kusombwa na mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha Wilayani humo.

RC Sendiga amesema eneo kubwa lililoathiriwa na mafuriko hayo ni kata ya Gendabi na katikati ya Mji wa Katesh ambayo ni Makao Makuu ya Wilaya ya Hanang ambako nyumba za Watu zimezingirwa na mafuriko na miti iliyosombwa na mafuriko kutoka sehemu ya Mlima Hanang kulikosababisha barabara ya Katesh kwenda Singida katika eneo la Mjini Katesh kushindwa kupitika kwa muda.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad