Mafuriko Hanang ‘Kama Humuoni Ndugu yako Toa Taarifa’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mafuriko Hanang






MANYARA: Hanang. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang mkoani Manaya, Rose Kamili, amewataka wananchi ambao hawafahamu ndugu zao walipo kutokana na mafuriko yaliyotokea usiku wa kuamkia leo eneo la Katesh wilayani Hanang watoe taarifa haraka.

Kamili amezungumza hayo muda mfupi uliopita katika Kijiji cha Gendabi, wilayani Hanang, wakati wa mkutano wa hadhara na wananchi wa eneo hilo kuhusu athari za mafuriko hayo na kueleza kuwa hiyo itasaidia katika juhudi za uokoaji.

Hata hivyo baada ya tangazo hilo la Mwenyekiti huyo wa halmashauri hakukuwa na mwanakijiji yeyote aliyejitokeza kupotolewa na ndugu, badala yake walisema hofu yao ni upande wa pili wa kijiji hicho ambapo wanatenganishwa na mto.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad