Hapa Hapa Makocha 10 Waliotemwa Ligi Kuu Msimu Huu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kocha Robertinho
Kocha Robertinho


Imefika idadi ya makocha 10 wa Ligi Kuj ya NBC ambao tayari wameshaondoka kwenye timu walizoanzanazo msumimu huu 2023|24!

Kuna ambao walisitishiwa mikataba kutokana na matokeo mabaya, wapo waliojiuzulu wenyewe kwa sababu za kifamilia lakini pia kutokana na matokeo mabaya.

🇧🇷 𝐑𝐨𝐛𝐞𝐫𝐭𝐨 𝐎𝐥𝐢𝐯𝐞𝐢𝐫𝐚 ‘𝐑𝐨𝐛𝐞𝐫𝐭𝐢𝐧𝐡𝐨’ [Simba]
🇨🇩 𝐌𝐰𝐢𝐧𝐲𝐢 𝐙𝐚𝐡𝐞𝐫𝐚 [Coastal Union]
🇧🇮 𝐂𝐞𝐝𝐫𝐢𝐜 𝐊𝐚𝐳𝐞 [Namungo FC]
🇹🇿 𝐅𝐫𝐞𝐝 𝐌𝐢𝐧𝐳𝐢𝐫𝐨 [Tanzania Prisons]
🇹🇿 𝐙𝐮𝐛𝐞𝐫 𝐊𝐚𝐭𝐰𝐢𝐥𝐚 [Ihefu SC]
🇹🇿 𝐇𝐚𝐛𝐢𝐛 𝐊𝐨𝐧𝐝𝐨 [Mtibwa Sugar]
🇺🇸 𝐌𝐞𝐥𝐢𝐬 𝐌𝐞𝐝𝐨 [Dodoma Jiji FC]
🇺🇬 𝐌𝐨𝐬𝐞𝐬 𝐁𝐚𝐬𝐞𝐧𝐚 [Ihefu SC]
🇩🇪 𝐄𝐫𝐧𝐬𝐭 𝐌𝐢𝐝𝐝𝐞𝐧𝐝𝐨𝐫𝐩 [Singida Big Stars]
🇳🇱 𝐇𝐚𝐧𝐬 𝐯𝐚𝐧 𝐝𝐞𝐫 𝐏𝐥𝐮𝐢𝐣𝐦 [Singida Big Stars]

Kati ya hao ni Zuber Katwila pekee mabaye anafundisha timu ya Ligi Kuu [Mtibwa Sugar]. Je, unatamani kumuona Kocha gani akirejea tena kufundisha Ligi Kuu______________??
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad