Israel inaomboleza vifo vya mateka wa Israel waliouawa kimakosa na jeshi lake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, ameyataja mauaji ya mateka hao kuwa ni “janga lisilovumilika” na kuahidi kuendelea “kwa juhudi kubwa za kuwarejesha mateka wote nyumbani wakiwa salama”.

Israel inaomboleza vifo vya mateka watatu wa Israel waliouawa kimakosa na wanajeshi wa Israel wakati wa operesheni yake ya ardhini katika Ukanda wa Gaza.

Msemaji mkuu wa jeshi hilo, Admirali Daniel Hagari, amesema vikosi vya Israel viliwatambua kimakosa mateka hao kama tishio, na kuwafyatulia risasi Ijumaa. Alisema kuwa haijafahamika iwapo mateka hao waliwatoroka watekaji wao, au walikuwa wametelekezwa.

Vifo vyao vilitokea katika eneo la Shijaiyah huko Gaza City, eneo la mapigano ya umwagaji damu kati ya jeshi la Israel na wanamgambo wa Hamas. Alisema jeshi limeelezea masikitiko makubwa na linafanya uchunguzi.


Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, ameyataja mauaji ya mateka hao kuwa ni “janga lisilovumilika” na kuahidi kuendelea “kwa juhudi kubwa za kuwarejesha mateka wote nyumbani wakiwa salama”.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad