Kwa Yanga hii, Wataendelea kutesa sana Ligi kuu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ukweli ni kwamba Kama Simba wangekuwa wanatoa mgawanyiko sahihi kwa wachezaji vijana waliowasajili basi wangekuwa na moja ya kikosi bora sana lakini kinachotokea ni vipaji kuozea benchi.

Ukweli ni kwamba kwa ubora waliouonesha Wachezaji wa Yanga ambao huwa hawapati nafasi mara kwa mara basi, kwasasa wakienda Simba wanauwezo wa kupata nafasi Kikosi cha Kwanza.

Pamoja na Gamondi Kufanya Rotation lakini tumeshuhudia ubora kutoka kwa Wachezaji ambao hawakupata nafasi mda mrefu.

Kwa Yanga hii, Wataendelea kutesa sana Ligi kuu.

NB: Yanga Wamefungwa Goli La Msimu
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad