AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Willy Osomba Onana ndiye shujaa wa mchezo, ameitanguliza Simba SC mguu mmoja Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika kwa kutupia magoli mawili katika mchezo dhidi ya Wydad Casablanca.
Magoli ya Onana aliyafunga dakika ya 36 na 38 katika mchezo huo wa nne wa hatua ya Makundi ya Klabu Bingwa Afrika, mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar.
Simba amefikisha alama 5 katima msimamo wa kundi lao akiwa nafasi ya pili nyuma ya ASEC Mimosas ambao wana alama 7. ASEC atacheza na Jwaneng muda mchache ujao.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK