AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally imetangaza kiingilio kwenye mechi yao ya nne hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca siku ya Jumanne Uwanja wa Benjamin Mkapa ambapo mzunguko Sh5000, VIP C Sh10,000, VIP B 20,000, VIP A 30,00 na cha juu ni Sh150,000.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK