Yanga Msiwachukulie Poa Timu ya Medeama, Wana Balaa zito

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Baada ya mchezo wa Yanga SC dhidi ya Al Ahly kumalizika kwa sare 1-1 katika dimba la Benjamin Mkapa na wananchi kuonesha mchezo Bora na mzuri Kwa kutoa mechi nzuri kwa Mabingwa watetezi wa kombe la ligi ya Mabingwa Afrika bila shaka hakuna mtu wa kuwalaumu zaidi ka kuwapongeza.


Nimeona baada ya mechi hizi 2 walizocheza Yanga SC mashabiki wengi wameanza kupiga mahesabu Yao mepesi maana Yanga amecheza ugenini na CR Belzoudad akapoteza na Jana kapata sare maanake ana point Moja akishika nafasi ya nne kwenye kundi lao baadhi ya Mashabiki wamesema point zao sita zipo kwa Madeama maanake tayari wamemchukulia poa wamemchukulia mnyonge hiyo tu inaongeza ugumu wa mechi.


Katika kundi hili naona zaidi mechi atazopata Yanga ugumu ni dhdi ya Madeama Moja wanacheza soka la kupiga pasi kama Yanga mbili ratiba ya mechi wanaanza Ghana alafu wanakuja kwa Mkapa timu za Afrika Kila mtu anatamba kwao Sasa ukianza Kule ukija hapa mpinzani tayari nae atakuwa amekuona ubora na madhaifu yako maanake presha kwako itakuwa juu tena ukiwa nyumbani mbele ya Mashabiki wako.


Nimeona hata mahesabu ya Meneja wa Habari na mawasiliano wa Yanga Ally Kamwe mawazo yake hayatofautiani sana na mashabiki wao Mimi hii inapotokea mechi kuwa ngumu itawafanya timu kuwa na presha.


NB:Mikatakati waliyomuwekea Al Ahly ndiyo kwa kiwango hicho hicho watumie kuwekea Madeama wapo kwenye ubora wao pia.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad