AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa Klabu yao haitamuuza beki wao kisiki, Henock Inonga.
Inonga aliyeg'ara na timu yake ya Taifa ya Kongo ambayo imefuzu Robo Fainali AFCON, anadaiwa kunyemelewa na Vilabu vya Al Ahly na RS Berkane ya Morocco.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK