Kipa Diarra Ashinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi wa NIC

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Kipa Diarra Ashinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi wa NIC

Djigui Diarra ambaye ni kipa namba moja wa timu ya Yanga, amefanikiwa kushinda Tuzo ya NIC Insurance baada ya kuibuka Mchezaji Bora wa Mwezi Desemba ndani ya kikosi hicho.


Diarra ameshinda tuzo hiyo inayotolewa na Shirika la Bima la Taifa (NIC) baada ya kuwashinda Ibrahim Abdullah ‘Bacca’ na Nickson Kibabage alioingia nao fainali.


Mashabiki na wanachama wa Yanga SC, ndio wameamua ushindi huo kwa Diarra baada ya kupiga kura kupitia application ya Yanga SC.


Katika kura hizo, Diarra amepata asilimia 60, ⁠Ibrahim Bacca 25% na ⁠Nickson Kibabage 15%.


Tuzo hizo zilianza kutolewa mwezi Oktoba 2023 chini ya udhamini wa NIC, ambapo mshindi wa kwanza alikuwa Stephane Aziz Ki, kisha Pacome Zouzoua akashinda mwezi Novemba.


Baada ya kuibuka mshindi, Diarra anatarajiwa kukabidhiwa kiasi cha shilingi milioni nne (4,000,000).

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad