AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kutokana na ongezeko la ripoti za uhalifu unaohusisha kesi za mauaji katika nyumba za makazi maarufu kama (AirBnB) na Hoteli, Mamlaka ya Udhibiti wa Taarifa Binafsi imetoa maagizo yanayolenga kuzuia vitendo hivyo na kuhakikisha usalama wa wakazi na wageni
Mamlaka hiyo imewataka watoa huduma wote kwenye nyumba za wageni, hoteli na AirBnB kuzingatia Sheria ya Taarifa Binafsi ya Nchi hiyo kwa Kurekodi na kutunza kumbukumbu za utambulisho wa wageni, kurekodi muda wa kuingia na kutoka kwa wageni na pia Kukusanya na kuhifadhi kwa muda Vitambulisho vya wageni
Usalama wa Wageni wanaotumia AirBnB nchini humo umekuwa mashakani katika siku za Karibuni baada ya Matukio ya Mauaji ya Wateja akiwemo Mwanamitandao #ScarletWahu na Mwanamke mwingine aliyeuawa na mwili wake kukatwa vipande na kuwekwa kwenye ndoo ya taka huko #Kasarani
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK