Wale Timu ya Congo ni Kama Sisi tu Kwa Kiwango Sema Wanabahati

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



"Inawezekana watu wamevunjika moyo sana timu yetu (Taifa Stars) kuishia kwenye hatua ya kwanza lakini jamani hebu tuangalie na ushiriki wetu ulikuwaje? Kwenye hatua ya kwanza kwenye michezo tuliyocheza tumepoteza mchezo mmoja na mingine yote tumepata sare ni ushindani tu.

Mfano Kongo ambaye Leo anakwenda kucheza Robo fainali tumetoka naye sare, tafrisi ya kimichezo tulikuwa sawa, wakati mwingine mpira unadunda. Tunaipokea kama changamoto. Tunajipanga kwa ajili ya AFCON mwakani Morocco" @GersonMsigwa, Katibu Mkuu wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad