Zaidi ya 6,000 Wafariki Wakijaribu Kwenda Ulaya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Zaidi ya 6,000 Wafariki Wakijaribu Kwenda Ulaya


Takriban Wahamiaji wasiopunguwa 6,618 walikufa au kutoweka wakijaribu kuingia Uhispania kupitia njia ya bahari mwaka 2023.


Shirika la kutetea haki za Wahamiaji Nchini Hipania, limesema idadi hiyo ni mara tatu zaidi ya iliyorekodiwa mwaka 2022, ambapo wahamiaji 2,390 walipoteza maisha.


15 wafariki kwa ajali ya Basi, Daladala

Aidha, katika idadi hiyo, Watoto 384 ni miongoni mwa wahanga, taarifa iliyotokana na mahojiano kutoka kwa familia za waathiriwa pamoja na takwimu zinazotolewa na maafisa wa shughuli za uokoaji.


Hata hivyo, vifo vingi vya idadi ya wahamiaji iliyotajwa, vimetokea katika Bahari ya Atlantiki, ambayo inatumiwa kama njia ya kutoka Afrika kuingia visiwa vya Canary Nchini Hispania.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad