AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan amesema ili kuendelea kutoa huduma za afya endelevu suala la bima ya afya kwa kila mtu haliepukiki.
Amebainisha hayo wakati wa ufunguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Lumumba na kusema hospitali hiyo itasaidia kupunguza msongamano wa wagonjwa na kutoa huduma bora zinazokusudiwa.
"Suala la bima ya afya haliepukiki tujipange kila mmoja kuwa na bima ili tutibiwe vile ipasavyo,” amesisitiza Rais Samia.
Pia ameeleza kufarijika kuwepo kwa wataalamu katika hospitali hiyo, na kutoa rai kwa Wizara ya Afya kuhakikisha inaendelea kutoa huduma bora kwa wananchi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK