AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mama mzazi wa msanii wa muziki kipya, Hawa Nitarejea @hawanitarejea ameangua kilio mbele ya Global TV baada ya kuelezea kuwa mtoto wake huyo amekuwa akijifungia ndani kwa takribani miezi miwili sasa, akiwa hali chakula vizuri wala mtoto wake mdogo hampi chakula kama inavyotakiwa, kitu ambacho kinamchanganya sana na kumuumiza kupita kiasi.
Mama huyo alisema kuwa anaumia sana kwa sababu, wametoka kwenye janga zito sana la kuuguza ugonjwa uliokuwa ukimsumbua lakini sasa hivi limeibuka tatizo lingine la kujifungia ndani, kutokula vizuri na kutoongea na mtu yeyote pale zaidi ya mtoto wake pekee.
Mama huyo ameomba msaada kwa wanasaikolojia wanaoweza kuongea na mtoto wake kwani huenda ikawa ana stress za kutofanya kazi yake ya muziki muda mrefu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK