Magari 7 Msafara wa Paul Makonda Yapata Ajali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msafara wa Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Paul Makonda umepata ajali katika Mji wa Masasi Mkoani Mtwara majira ya saa tisa alasiri leo Feb 11,2024 ukihusisha magari zaidi ya saba yaliyokuwepo katika msafara huo uliokuwa unatokea Mkoani Ruvuma kuja Jijini Dar es salaam.

Watu wasiopungua saba wamejeruhiwa na kukimbizwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mtwara, hakuna kifo kilichotokea kwenye ajali hiyo na hali ya kiafya ya Makonda ipo salama.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad