KIKWETE: Lowassa Alipopata Changamoto na Kujiuzulu, Mimi na Yeye Tuliendelea Kuwa Marafiki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

KIKWETE: Lowassa Alipopata Changamoto na Kujiuzulu, Mimi na Yeye Tuliendelea Kuwa Marafiki

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ametoa kauli hiyo baada ya kufika kutoa pole ya Msiba nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa aliyefariki dunia Februari 10, 2024 wakati akipata matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)

Akimzungumzia kiongozi huyo, Kikwete amesema Mwaka 2005 tulipoteuliwa kugombea Urais, mwenzangu akaja kuwa Waziri Mkuu tukapata changamoto katikati mwenzangu ikabidi akae pembeni, tukaendelea kuwa marafiki na kushirikiana kwa kila linalowezekana”

Kikwete ameongeza kuwa Lowassa ametoa mchango mkubwa katika Taifa na yaliyotokea ni changamoto katika maisha lakini hayafuti mema na mazuri aliyofanya kwaajili ya Nchi

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad