KIMENUKA: Penzi la Hamisa Mobetto Chali, Mwanaume Afuta Picha Zote za Hamisa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

KIMENUKA: Penzi la Hamisa Mobetto Chali, Mwanaume Afuta Picha Zote za Hamisa


Mfanyabiashara Kevin Ahyi-sena maarufu kama Kevin Sowax ambaye ni raia wa Togo amefuta picha zake zote alizopiga na mrembo Hamisa Mobeto kwenye akaunti yake ya Instagram.


Ikumbukwe Hamisa alikuwa akimpost Kevin akisema ni mpenzi wake na mwaka jana (2023) Kevin alikuja Tanzania akidai kuwa amekuja kibishara pamoja na kuenjoy na mpenzi wake huyo ambaye pia ni mzazi mwenzake na fdiamond Platnumz.


Wakati hayo yakijiri, Harmonize alionekana kunyemele penzi la Hamisa Mobetto na alishindwa kabisa kuficha hisia zake, jambo ambalo lilimlazimi Mmakonde kumueka kwenye Wallpaper yake ya simu.


Harmonize kumueka Mobetto wallpaper haikutosha, alimuimbia wimbo wa Side Nigar "Don't you see your beautiful face in my wallpaper" ukiwa mstari mmoja wa wimbo huo.


Baada ya kuona hakuna dalili za kukubaliwa, Harmonize baadaye aliamua kwenda kwa Poshy Queen.


Ni wiki chache tu baada ya Kevin kusherehekea birthday yake, ameamua kuzifuta picha zote akiwa na Hamisa huku chanzo cha maamuzi hayo kikiwa hakijaelewa iwapo waneachana ama kuna jambo jingine.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad