Mwanamuziki Chino Kid Anunua Ndinga ya Milioni 200

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Staa wa muziki na Dansa maarufu nchini Tanzania Chino Kid ameshare picha na videos za Gari mpya aina ya Land Cruiser VX maarufu kama V8 kwenye ukurasa wake wake wa ya Instagram na kuandika ‘BLESSING WHITE HOUSE WHITE CAR’.


Mbali na hizo picha, pia kuna video nyingine ya influencer wa mitandaoni Dotto Magari inayomuonyesha akimpongeza Chino kid kwa kununua Gari hiyo mpya ambayo bado haijatwa thamani yake mpaka sasa, ingawa kwa makadirio Gari hiyo inatajwa hakuuzwa kuanzia Milioni 200 za Kitanzania.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad