Wanaosoma Magazeti kwa Mbwembwe Kuchukuliwa hatua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Wanaosoma Magazeti kwa Mbwembwe Kuchukuliwa hatua

Meneja wa Huduma za Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Andrew Kisaka, amesema Mamlaka hiyo itawachukulia hatua baadhi ya Watangazaji wanaosoma magazeti kwa mbwembwe huku wakiongezea baadhi ya vitu visivyotakiwa wakati wa usomaji.

Kisaka amesema hayo katika mkutano wa mwaka wa Vyombo vya Utangazaji Nchini uliofanyika Jijini Dodoma ———> “Kuna wachache wakorofikorofi wanaleta mbwembwe na kuongezea vitu pale kwenye magazeti kwahiyo nafikiri hao pia watamulikwa na kushughulikiwa kwa mujibu wa kanuni na sheria, ni wachache sana”

“Kanuni za matumizi ya lugha zipo kama unaongea kiingereza ongea kiingereza kama unaongea kiswahili ongea kiswahili, hivi kuna haja ya kukiita kipindi Good Morning?, tumesilisika kabisa kuita vipindi vyetu kwa lugha ya kiswahili”

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad