AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mahakama nchini Afrika Kusini imemtaja mtu aliyewalipa wauaji wa msanii Kiernan Forbes maarufu kama “AKA”, mtu huyo ametajwa kuwa manyabiashara Sydney Munda Gcaba ambaye inadaiwa aliwalipa wauaji jumla ya Randi 800,000 (Zaidi ya TSh. Milioni 108 kwa ajili ya kutekeleza mauaji ya Rapa Huyo mzaliwa wa Cape Town.
Taarifa zaidi zinasema kuwa Tarehe 11 Februari 2023 majira ya saa sita mchana Mmoja wa wauaji aliyefahamika kwa jina la Gwabeni alipokea kiasi cha Randi Laki Nane kwenye akaunti yake, fedha ambazo inadaiwa kuwa alizitoa na kugawana na wenzie.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK