Clara Atajwa Orodha ya Wachezaji 25 hatari zaidi Duniani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Clara Atajwa Orodha ya Wachezaji 25 hatari zaidi Duniani

Utafiti uliofanywa na jarida la Goal na washirika wengine kama 433 wamemtaja Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Clara Luvanga kwenye orodha ya wachezaji 25 bora wanaochipukia kwasasa duniani.

Kwenye Orodha hiyo Clara ametajwa kwenye nafasi ya 16 huku akiwa mchezaji pekee kutoka barani Afrika.

Orodha ya wachezaji chipukizi hatari zaidi duniani kwa mujibu wa GOAL;

1. Linda Caecedo, Real Madrid, Colombia

2. Vicky Lopez, Barcelona, Hispania

3. Aline Gomes, Ferroviaria, Brazil

4. Mara Alber, Hoffenheim, German

5. Signe Gaupset, Brann, Norway

6. Wieke Kaptein, Chelsea, Uholanzi

7. Olivia Moultrie, Portland, Marekani

8. Momoko Tanikawa, Bayern, Japan

9. Dudinha, Sao Paulo, Brazil

10. Sara Ortega, Athlethic Club, Hispania . . 

16. Clara Luvanga, Al Nassr, Tanzania

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad