Etoo: Bila Infantino, Afrika ni ngumu kutoboa katika Soka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Etoo: Bila Infantino, Afrika ni ngumu kutoboa katika Soka

Samuel Eto’o anaamini nafasi pekee ya maendeleo ya mpira wa miguu barani Afrika ni kipindi hiki ambacho Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Duniani FIFA ni Gianni Infantino


“Tumepata bahati kubwa tuna Rais wa Shirikisho ambaye anaipenda FIFA, sina maana kama namkubali sana hapana ila endapo ataondoka FIFA sisi kama Afrika hatutakuwa na nafasi ya kufanya vizuri zaidi tutakutana na vipingamizi vingi”

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad