Otile Brown: Hakuna Msanii Afrika Mshariki Aliyefika Kimataifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Otile Brown: Hakuna Msanii Afrika Mshariki Aliyefika Kimataifa


Mwimbaji wa muziki Otile Brown kutoka nchini Kenya amefanya mahojiano na kipindi cha Obinna Show Live nchini humo siku ya jana Machi 4, 2024 ambapo katika mahojiano hayo ametoa mtazamo wake na kusema Afrika Mashariki hakuna wasanii waliofika Kimataifa.


‘East Africa hakuna International Artist, sote tumefika ceiling, hakuna msanii International East Africa tuseme ukweli, tuna kazi kubwa ya kufanya, kuna watoto wamekuja juzi ambao hata sio hata rika langu kama Ruger (Nigeria), ni mtoto wa juzi lakini hakuna msanii wa East Africa anaweyeza shindana na Ruger,’ amesema Otile Brown akisimamia msimamo wake.


Una mtazamo gani?

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad