AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamati ya Usimamizi na Uendeshaji wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania leo imetangaza adhabu kwa Wachezaji na Timu mbalimbali za Ligi Kuu ambapo Wachezaji wa Simba SC Kibu Denis na Mzamiru Yassin waliopigwa faini ya Tsh milioni 1 kila mmoja kutokana na kufanya vitendo vilivyoashiria imani za kishirikina.
“Kwenye mechi ya Coastal Union FC 1-2 Simba SC, Wachezaji Kibu Denis na Mzamiru Yassin wa klabu ya Simba wametozwa faini ya Sh. 1,000,000 (milioni moja) kila mmoja kwa kosa la kuonekana wakiondoa taulo la mlinda mango wa klabu ya Coastal Union, Ley Matampi lililokuwa limewekwa pembeni ya lango wakati mchezo”
“Jambo hilo liliashiria imani za kishirikina, adhabu hii ni kwa kuzingatia Kanuni ya 41:5 ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti kwa Wachezaji”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK