Kuhusu Wachezaji Majeruhi Yanga Ali Kamwe Atoa Taarifa Hii Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ally Kamwe akizungumzia hali za wachezaji wao watano ambao ni majeruhi kuelekea mchezo na Mamelodi

> Kibwana atarejea ataanza mazoezi kwenye pitch kuanzia Jumatatu.

> Aucho ameingia kwenye phase ya pili ya recovering yake na ameanza fittnes, kwa mujibu wa madaktari akimaliza hapa ataingia phase ya tatu ataanza mazoezi mepesi kwenye pitch.

> Mauya yeye anaendelea vizuri atajiunga na timu haraka iwezekanavyo.

> Yao Kouassi yeye baada ya vipimo amegundulika alipata shida ya nyama za paja kwenye mchezo na Azam, kutokana na recovery anayofanya hadi sasa uwezokazo wa kushiriki mechi na Mamelodi ni 50/50.

> Pacome amegundulika alipata shida ya Goti tuliwaambia Timu ya Taifa kuwa mchezaji ameumia wakasema wanamuomba watamtibia akiwahi kuwa sawa atumike Kwenye michezo ya National Team, taarifa zake tutazitoa baada ya repoti ya madaktari wa Yanga Sc na Madaktari wa Ivory Coast.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad