AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati Serikali ikihimiza uzalendo kwa Mashabikiwa Vilabu vya Simba na Yanga kuelekea michezo yao ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Waziri wa Michezo Damas Ndumbaro amesema kama mtanzania atavaa jei za wageni basi atakuwa na wajibu wa kuonesha pasi yake y kusafiria.
Sasa Mchambuzi wa Michezo kutoka Clouds Media, Alex Luambano anasema;
“Dhamira ni kuona mgeni hapewi sapoti ya aina yoyote na mtanzania haya mambo mengine ni namna tu ya uwasilishaji”
“Hii itawafanya wanaofikiria negative kuona acha watulie yasije yakawakuta mengine ,ingawa uzalendo haupimwi kwa kumwambia mtu kuhusu kuvaa jezi”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK