Lipumba: Napata Wasiwasi Kanuni Zipi zitatumika Uchaguzi Serikali za Mitaa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Lipumba: Napata Wasiwasi Kanuni Zipi zitatumika Uchaguzi Serikali za Mitaa

Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania(TCD), Profesa Ibrahim Lipumba amesema kuwa anapata wasiwasi kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa, unaweza kuwa kama wa mwaka 2019 au utakua tofauti, kwa kuwa haijulikani utatumia kanuni zipi.


Lipumba ametoa kauli hiyo leo Machi 11, 2024 wakati wa majadiliano yaliyoandaliwa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) lilokuwa linaangazia changamoto zinazowakabili vijana wa sasa kwenye siasa za uongozi na kujenga uelewa wa pamoja kati ya vizazi tofauti ili kuleta mabadiliko mazuri katika sera za nchi.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad