Dk Slaa Amvaa Kinana Kuhusu Uchaguzi Mkuu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Dk Slaa Amvaa Kinana Kuhusu Uchaguzi Mkuu

"Nimesikia Kinana anaongea anasema uchaguzi utakuwa wa huru na haki, uchaguzi hauwi huru na haki kwa kauli ya mtu, unakuwa huru na haki kwa sheria, sheria zilizopelekwa bungeni ni mbovu ni mbaya kuliko zilizokuwepo, sasa hapo unawezaje kusema uchaguzi utakuwa huru na haki?".


"Nani wanataka kumdanganya kama mtoto mdogo sisi katika siasa tumekomaa mimi nina miaka zaidi ya 40 katika siasa ile kauli haikustahili kutolewa na mtu wa hadhi ya Kinana"


"Uchaguzi hauendeshwi kwa hisani ya mtu na hicho alichokisema ndiyo kinatufanya tukasirike zaidi na maandamano yawe maradufu zaidi tuhamasishe wananchi kuikataa CCM, kwa sababu wanakataa kufuata sheria wanataka tufuate hisia, hisia hizo ndiyo zimetufikisha hapa tulipo"- Dkt.Slaa

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad