Mayele Ampongeza Fei Toto Kwa Kuifunga Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mshambuliaji wa zamani wa Yanga SC, Fiston Mayele amempongeza kiungo wa Azam FC ambaye naye amewahi kukipiga Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ baada ya kufunga goli la ushindi wa 2-1 kwenye mchezo dhidi ya waajiri wake wa zamani (Yanga SC) uliopigwa juzi Machi 17, 2024.

Mayele ambaye kwa sasa anaekipiga kwenye klabu ya Pyramid Misri, amempongeza Fei Toto kupitia kwenye post ambayo Feisal aliipost kwenye ukurasa wake inayoonyesha goli alilofunga kwenye mchezo huo na Mayele aliacha comment fupi “Hongera bro”.

Huu unakuwa mchezo wa tatu kwa Feisal kukutana na Yanga toka ajiunge na Azam FC na linakuwa goli lake la kwanza kuiwamba Yanga toka aondoke kwenye viunga vya twiga na Jangwani.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad