AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ndege kubwa, Dash 8 inayomilikiwa na #Safarilink Aviation iliyokuwa na abiria 39 pamoja na Wafanyakazi 5, ilikuwa ikielekea katika Mji wa #Diani ndipo Wafanyakazi waliporipoti mlipuko mkubwa muda mfupi baada ya kuruka kutoka Uwanja wa Ndege wa Wilson na kuamua kurudi
Mamlaka ya Anga ya Kenya imesema ajali hiyo imetokea Machi 5, 2024 majira ya Saa 4 asubuhi na Uchunguzi zaidi unaendelea
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK