AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Imeelezwa kuwa tayari Simba wameanza kufanya mazungumzo na Singida juu ya kutaka kumsajili mchezaji huyo ambaye mkataba wake na Singida utafikia ukomo mwaka 2025.
Kibabage yupo Yanga kwa mkopo wa miezi sita baada ya mkopo wa awali ulioanza Julai 2023 kufikia tamati na Yanga kuamua kuongeza mkataba mwingine alioanza kuutumikia Januari 2024 na utafikia tamati Juni 2024.
Ikumbukwe kuwa Kibabage alitua Singida FG akitokea Mtibwa Sugar ambapo Singida iligharamika zaidi ya milioni 100 kuinasa saini ya beki huyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK