Imeelezwa kuwa tayari Simba wameanza kufanya mazungumzo na Singida juu ya kutaka kumsajili mchezaji huyo ambaye mkataba wake na Singida utafikia ukomo mwaka 2025.
Kibabage yupo Yanga kwa mkopo wa miezi sita baada ya mkopo wa awali ulioanza Julai 2023 kufikia tamati na Yanga kuamua kuongeza mkataba mwingine alioanza kuutumikia Januari 2024 na utafikia tamati Juni 2024.
Ikumbukwe kuwa Kibabage alitua Singida FG akitokea Mtibwa Sugar ambapo Singida iligharamika zaidi ya milioni 100 kuinasa saini ya beki huyo.
-------------------------------
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.
Nafasi za Ajira Bonyeza Hapa