Ally Kamwe "Simba Watuletee Yule Kocha wa Mamelodi Tumalizane Naye

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nichukue fursa hii kuwapongeza sana viongozi wa Simba, wako very very smart, wanaakili wana brain nzuri ya kujua mpira, yule kocha (Benchikha) alishafika mwisho lakini sisi kama Yanga tulifurahishwa na maamuzi ya yule kocha kuletwa kwa sababu tulikuwa na kisasi naye, kwahiyo hawa mabwana kwasababu wako very smart wakatuletea mtu wetu karibu tukamnyoosha vizuri ameondoka hatudaiani naye.

“Niwaombe viongozi wa Simba watuletee yule kocha wa Mamelodi (Mokwena) na yeye tumalizane naye, wakituletea yule mitano tena wakae madarakani,” Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc, Ally Kamwe.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad