Aziz Ki Anainyemelea Tuzo ya MVP Msimu huu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aziz Ki Anainyemelea Tuzo ya MVP Msimu huu


Kiungo wa Yanga SC, Stephanie Aziz Ki anakuwa mchezaji pekee aliyetwaa tuzo nyingi za mchezaji bora wa mwezi msimu huu mpaka zasa.


Aziz amefikisha tuzo (2) za mchezaji bora wa mwezi wa Ligi Kuu ya NBC msimu huu.

◉ Mchezaji bora October — Aziz Ki

◉ Mchezaji bora March — Aziz Ki


Ametwaa tuzo ya mchezaji bora mwezi March akiwashinda, Feisal kutoka Azam FC na Clatous Chama kutoka Simba SC.


Aziz Ki mwezi Machi;


1. Bao moja vs Namungo FC

2. Bao moja na assists 3 vs Ihefu FC

3. Bao moja vs Geita gold

4. Assist moja vs Azam FC


◉ 4 — Michezo

◉ 3 — Magaoli

◉ 4 — Assists

◉ 7 — Magoli aliyohusika.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad