AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchezo huo ambao utakuwa wa 21 kwa timu yetu ndani ya ligi hiyo, unatarajiwa kuchezwa keshokutwa Jumapili saa 10 jioni kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.
“Baada ya kumalizana na Dodoma Jiji, kikosi chetu kitaondoka leo saa 2:00 usiku kuelekea Mwanza kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Fountain Gate FC. Uzuri wa ni kwamba Mwanza ni ngome ya Yanga.
“Tunaamini mchezo utakuwa mzuri na wenye ushindani lakini tunaamini kwenye ubora wa wachezaji wetu, maandalizi na mipango yetu itatupa matokeo mazuri," amesema Ally kamwe, Ofisa Habari wa Yanga.
Wachezaji watakaoondoka ni; Djigui Diarra, Aboutwalib Mshery, Ibrahim Bacca, Dickson Job, Nickson Kibabage, Lomalisa Mutambala, Zawadi Mauya, Gift Fred, Maxi Nzengeli, Skudu Makudubela, Jonas Mkude na Farid Mussa.
Wengine ni; Clement Mzize, Mudathir Yahya, Khalid Aucho, Augustine Okrah, Joseph Guede, Stephane Aziz Ki, Kibwana Shomari, Denis Nkane, Sheikhan Khamis, Salum Abubakar, Pacome Zouzoua, Yao Attohoula na Kennedy Musonda.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK