Juma Jux na Dimpoz ni Bifu Zito Kisa Mrembo Karen Bujulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Juma Jux na Dimpoz ni Bifu Zito Kisa Mrembo Karen Bujulu


Taarifa kutoka kwenye kiwanda cha burudani zinaarifu kuwa, limeibuka bifu zito kati ya nyota wawili wa Bongo Fleva, Juma Jux na Ommy Dimpoz huku chanzo kikitajwa kuwa ni mrembo Karen Bujulu.


Akipiga story na Lily Ommy Podcast, Jux ameweka wazi kuwa wameachana na aliekuwa mpenzi wake Karen Bujulu raia wa Rwanda huku chanzo kikidaiwa kuwa ni baada ya Ommy Dimpoz kumsafirisha Kareen wenda nae Dubai na kukaa huko takribani mwezi mzima.


Jux aliingia kwenye mahusiano na Kareen baada ya kumwagana na Vanessa Mdee ambaye kwa sasa anaishi Marekani na mpenzi wake, Rotimi ambaye wamefanikiwa kuzaa watoto wawili

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad