AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa kutoka kwenye kiwanda cha burudani zinaarifu kuwa, limeibuka bifu zito kati ya nyota wawili wa Bongo Fleva, Juma Jux na Ommy Dimpoz huku chanzo kikitajwa kuwa ni mrembo Karen Bujulu.
Akipiga story na Lily Ommy Podcast, Jux ameweka wazi kuwa wameachana na aliekuwa mpenzi wake Karen Bujulu raia wa Rwanda huku chanzo kikidaiwa kuwa ni baada ya Ommy Dimpoz kumsafirisha Kareen wenda nae Dubai na kukaa huko takribani mwezi mzima.
Jux aliingia kwenye mahusiano na Kareen baada ya kumwagana na Vanessa Mdee ambaye kwa sasa anaishi Marekani na mpenzi wake, Rotimi ambaye wamefanikiwa kuzaa watoto wawili
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK