Kaizer Chiefs watangaza kuujaza uwanja kuwapa shavu Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Habari kutoka nchini Afrika Kusini ni kuwa Kaizer Chiefs Amakhosi4Life tawi la "Atteridgeville" mashabiki wa Kaizer Chiefs leo wataungana na Mashabiki wa Young Africans Sports Club Pretoria kwenye dimba la Loftus Stadium kuwapa hamasa (kushangilia) wachezaji wa Yanga mwanzo mwisho.


Wananchi hawana ugeni kwako kama kwao tu. Kaizer wanasema wanakumbuka mapokezi na sapoti walioipata kutoka kwa Yanga walipokuja nchini mara ya mwisho kucheza na Yanga, hivyo wapo tayari kulipa ukarimu huo hii leo.


Itakumbukwa kuwa, Klabu ya Yanga ina urafiki na mahusiano ya karibu na Klabu ya Kaizer Chiefs na ndio maana waliaalika hata kwenye Siku ya Wananchi mwanzoni mwa msimu huu.


Kaizer pia ni wapinzani wa Mamelodi ambao ndio watacheza na Yanga leo Ijumaa, Aprili 5, 2024 kwenye mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika nchini Afrika Kusini.



----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad