AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mama watoto wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Ne-Yo anayefahamika kwa jina la Big Sade amemfananisha msanii huyo na Diddy kwa kumuita 'Diddy Junior'.
Kwa mujibu wa Tmz News imeeleza kuwa mwanamke huyo amedai kuwa Ne-Yo ni mmoja kati ya watu wanaoelekea kuumbuka kama Diddy kwa tabia zake chafu .
Ne-Yo ameshambuliwa na mama huyo kwa maneno akimtuhumu kwa ukatili na kushiriki ngono mbele ya watoto wake, kujihusisha na madawa ya kulevya na unyanyasaji dhidi yake.
Hivi karibuni Sade alirekodi video ya majibizano yake na msanii huyo na kuirusha mitandaoni ambapo alitoa shutuma hizo na huwenda Ne-Yo ni mmoja kati ya wanamuziki wanaofuata kuumbuliwa nchini humo.
Msanii huyo amewahi kufanya nyimbo kama Give me Everything, Closer, Mad, So Sick, Because of You, Miss Independent, She Knows, Time of Our Lives. Pia miaka 7 iliyopita aliwahi kufanya kolabo na DiamondPlatnumz katika wimbo wa ‘Marry You’.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK