Mwanamuziki REMA Ajigamba Adai Afrika Hakuna Big 3 Kwenye Muziki Bali Big 4 Akiwemo na Yeye

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanamuziki REMA Ajigamba Adai Afrika Hakuna Big 3 Kwenye Muziki Bali Big 4 Akiwemo na Yeye


 Ni Headlines za Hitmaker wa ‘’Calm Down” Rema akisema sasa hivi Muziki wa Africa hauna tena ile ‘Big Three’ (Burna Boy, Davido na Wizkid) bali kuna ‘Big Four’ akiongeza jina lake katika list hiyo ya wasanii wakubwa.


“Hakuna Big 3 sasa kuna Big 4” ameandika Rema


Story nyingine kuhusu Rema amefunguka kwamba amebadilisha muziki wa Africa (AfroBeats) kuanzia Sound, Shows na Brand.


Pia anajua watu wengi wanaiga style yake na anafurahishwa na jambo hilo ila anajua hawawezi kumpa utukufu na maua yake mapema.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad