AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni Headlines za Hitmaker wa ‘’Calm Down” Rema akisema sasa hivi Muziki wa Africa hauna tena ile ‘Big Three’ (Burna Boy, Davido na Wizkid) bali kuna ‘Big Four’ akiongeza jina lake katika list hiyo ya wasanii wakubwa.
“Hakuna Big 3 sasa kuna Big 4” ameandika Rema
Story nyingine kuhusu Rema amefunguka kwamba amebadilisha muziki wa Africa (AfroBeats) kuanzia Sound, Shows na Brand.
Pia anajua watu wengi wanaiga style yake na anafurahishwa na jambo hilo ila anajua hawawezi kumpa utukufu na maua yake mapema.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK