RAIS Samia Suluhu Hassan ameipongeza Klabu ya Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



RAIS Samia Suluhu Hassan ameipongeza Klabu ya Yanga licha ya kutolewa na Mamelodi Sundowns katika hatua ya robo fainali ya mashindano ya ligi ya Mabingwa wa Shirikisho la Soka Afrika. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).
Katika mchezo huo uliomalizika leo Ijumaa usiku, Yanga imeondolewa kwa mikwaju ya penalti 3-2 baada ya dakika zote 90 zilizopigwa katika uwanja wa Loftus Versfeld jijini Pretoria nchini Afrika Kusini timu za Mamelodi Sundowns na Yanga kutoka sare tasa.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad