AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Afrika bado tunafanya mambo yetu kivyetu vyetu! Timu imefuzu Fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF bila kucheza mechi hata moja ya Nusu Fainali.
Ni Afrika ambapo RS Berkane ilipewa alama tatu za mezani baada ya mechi kushindwa kuchezwa kutokana na migogoro ya kisiasa. Mchezo wa marudiano, USM Alger walisafiri hadi Morocco lakini hawakuingiza timu uwanjani. Hiyo ndio Afrika!
Huku Tanzania timu imechukua ubingwa halafu kesho yake inatoka taarifa kocha anaondoka! Afrika hiyo. Kuna mambo yanafanyika unabaki kinywa wazi.
Wenzetu wanaofanya mambo kwa kuzingatia weledi wameweza kutofautisha hisia na uhalisia. Pamoja na kuendelea kuhubiri kuhusu weledi lakini nchi nyingi za Afrika tunafanya mambo yetu kizamani.
Inathibitika kwamba tunafanya mambo bila kuzingatia weledi pale inakuja jambo la kimaamuzi, maamuzi mengi huwa yanafanyika pasipo weledi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK